• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

KATIBU WA AFYA AFARIKI KWATUMBUKIA KWENYE KISIMA

imewekwa Tar: January 30th, 2021

KATIBU wa afya wa halmashauri ya wilaya Nkasi Ibrahimu Kashatila (29) amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima kilichopo mjini Namanyere.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kaimu kamanda wa Polisi mkoani  Rukwa Theopista Mallya ni kuwa taarifa za kupotea kwa marehemu zilitolewa na mkewe January 23,2021 na juhudi za kumtafuta ziliendelea na ndipo January  27 majira ya saa 11:30 jioni zilitolewa taarifa za mwili wa kijana huyo kupatikana kwenye kisima akiwa amekufa.

Amesema kuwa marehemu alitoka nyumbani kwake januari 23 ya mwaka huu akienda matembezini na kuwa toka siku hiyo hakuonekana nyumbani wala kazini kwake na taarifa zilitolewa Polisi na juhudi za kumtafuta ziliendelea hadi pale mwili wake ulipopatikana kwenye kisima kilicho karibu na bar moja mjini Namanyere inakosadikika kuwa  alikua wakinywa pombe na ulipatikana baada ya siku 4.

Kamanda Mallya alisema kuwa uchunguzi wa jeshi la Polisi unaendelea ili kuweza kubaini chanzo cha kifo hicho na kuwa wao kama Polisi kwa sasa wanasubiri taarifa ya kitabibu ambayo wataiunganisha na taarifa za kiuchunguzi.

Alisema kuwa sasa  ni mapema sana kwao kuzungumza mambo kwa kina lakini uchunguzi ukikamilika watatoa taarifa nzima  ya tukio hilo.

Ndugu wa marehemu   walikabidhiwa mwili kwa ajiri ya mazishi baada ya hatua za awali za uchunguzi kukamilika

Mwisho    

Na Israel  Mwaisaka,Nkasi                                 

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi watakiwa kuacha kulalamika na badala yake waisaidie serikali ili kuijenga nchi.

    March 07, 2021
  • RC Wangabo atoa elimu ya kujikinga na majanga huku nyumba Zaidi ya 80 zikiezuliwa na upepo

    March 06, 2021
  • Mpango wa Mji wa Sumbawanga Kupata maji kutoka Ziwa Tanganyika unakaribia.

    March 02, 2021
  • RC Wangabo atoa neno baada ya DED kukataa kuhojiwa na madiwani na kumhusisha Rais Magufuli.

    March 01, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa