• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Malezi bora ndio chanzo cha Amani na utulivu katika jamii” – RC Wangabo

imewekwa Tar: November 4th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameusisitiza umoja wa wazee mkoani Rukwa kuendelea kuhimiza malezi bora katika jamii ili kujiepusha na uvunjifu wa amani unaofanywa na vijana hao pindi wasiposimamiwa vizuri katika makuzi yao.

Amesema kuwa uhalifu mwingi unaoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hufanywa na kundi la vijana ambao wamekosa usimamizi bora wa malezi ya jamii katika makuzi yao na hatimae hujihusisha na matukio yanayopelekea kuitikisa amani ya mji ama mkoa.

“Uhalifu mwingi nchini hufanywa na kundi la vijana sijawahi kusikia uhalifu umefanywa na kundi la wazee hata siku moja na yote hayo ni kukosa malezi bora kutoka kwenu wazee, kama wazee mlilelewa vizuri kwanini na hawa watoto, au mmewashindwa?” Aliuliza.

RC Wangabo ameyasema hayo alipofanya kikao na umoja wa wazee wa mkoa wa Rukwa pamoja na viongozi wa dini kilichofanyika katika ikulu ndogo Mkoani humo na kuwaeleza mikakati aliyonayo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha amani na utulivu unaendelea kudumishwa katika mkoa.

Aidha, RC Wangabo amesisitiza kuwa vijana wamekuwa wakijifunza mambo mengi machafu kupitia simu za “smartphone” ikiwemo namna ya kufanya uhalifu na mambo yanayokwenda kinyume na maadili ya mtanzania.

Ameonya kuwa baadhi ya wazazi hutetea uovu wa watoto wao jambo linalowakatisha tamaa waalimu katika kujenga maadili ya wananfunzi ili kutengeneza viongozi bora katika jamii na kuongeza kuwa watoto wasio na maadili hushusha kasi ya ufaulu mashuleni.

RC Wangabo hakuacha kuwashauri wazee hao kuacha kujishughulisha na siasa za maandamano na badala yake wawe washauri wa vijana wanaotaka kuharibu amani ya nchi kupitia siasa

“Sidhani kama itakuwa ni heshima mzee umeshikwa ‘Tanganyika jeki’ na mtoto mdogo, huko ni kudhalilishwa, wazee mnatakiwa kuwa washauri wa hawa vijana wanaotumia siasa vibaya na matokeo yake kuharibu amani ya nchi,”

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Madiwani wilayani Kalambo waapa kumaliza upungufu wa vyumba vya madarasa

    January 07, 2021
  • Ukaguzi wa Dawa kwenye vituo vya kutolea Huduma – Rukwa

    January 06, 2021
  • NASIBU WAZIRI AKIRI KUWEPO CHANGAMOTO BIMA YA MFUKO WA AFYA YA JAMII

    January 05, 2021
  • RC Wangabo awaonesha wananchi njia ya kupata kipato kikubwa kwa nguvu ndogo kwa mwaka 2021.

    January 01, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa