• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wanahabari ‘wafundwa’ kuhusu chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi

imewekwa Tar: April 20th, 2018

Katibu tawala wa Mkoa wa Rukwa Benard Makali amewaasa waandishi wa habari wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanatoa elimu sahihi juu ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi inayotarajiwa kuzinduliwa katika wiki ya mwisho ya mwezi huu wa nne.

Amesema kuwa wananchi wengi wanaamini zaidi vyombo vya habari hivyo waandishi wa habari wakiandika habari sahihi kuhusu chanjo hiyo itawashawishi wengi kujitokeza kushiriki katika zoezi hilo ambalo nia yake ni kuokoa maisha ya wasichana kwa manufaa ya kizazi hiki na kijacho.

“Lengo kuu la kuwaiteni ni kuomba ushiriki wenu wa hali na mali katika maadalizi na wakati wa utoaji wa chanjo hii muhimu, na kwa kutambua umuhimu wa tasnia hii ya habari, serikali kupitia Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto kwa kushirikiana na wadau wengine wa chanjo nimeona ni vyema wanahabari mkapata fursa ya kupewa elimu ya kutosha kuhusu zoezi hili ili muweze kufikisha ujumbe kwa jamii,” Alisisitiza.

Aliyasema hayo alipokuwa akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari wa mkoa wa Rukwa kuhusu uanzishwaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi katika mkoa iliyofanyika katika ukumbi wa hospitali ya rufaa ya mkoa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa Mkoa wa Rukwa Musa Mwangoka amesema kuwa mafunzo hayo yamewasaidia katika kulielewa zoezi hilo linaloendelea kwa kina na kuahidi kutoa ushirikiano katika kufikisha ujumbe kwa jamii ili kuokoa maisha ya wasichana hao.

Aidha mwakilishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI anayetokea katika idara ya afya ya wizara hiyo Nkinda Shekalaghe amesema kuwa waandishi wa habari wakipata taarifa sahihi nao huzifikisha katika jamii katika usahihi ule ule uliokusudiwa na watakaopokea taarifa watapokea kwa usahihi na zilizo kamili.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 - Rukwa October 17, 2019
  • Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2021, Mkoa wa Rukwa December 18, 2020
  • Fomu za Kujiunga na Shule mbalimbali za Sekondari (JOINING INSTRUCTION) kwa Mwaka 2021 mkoani Rukwa. December 20, 2020
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Wananchi wasisitizwa kuitumia wiki ya sheria kama fursa ya mafunzo ya bure ya sheria.

    January 24, 2021
  • MABARAZA YA ARDHI YATAJWA KUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    January 23, 2021
  • Kamati ya Amani Rukwa yamuomba RC kufikisha salamu zao kwa Rais Magufuli.

    January 22, 2021
  • Kijiji kitakachokaribisha “Lambalamba” Kuwekwa chini ya Ulinzi

    January 21, 2021
  • Angalia Zote

Video

Mwaka 2020 kuwa mwaka wa kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili Mkoani Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0756941328

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa