KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kanuni hizi zimetungwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Manejimenti ya Utumishi wa Umma kwa mujibu wa Mamlaka aliyopewa katika Kifungu cha 34 cha Sheria ya Utumishi wa Umma ya Mwaka 2002 pamoja na Kanuni ya 65 (1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za Mwaka 2003.
Kutoa Huduma Bora
Watumishi wa Umma wanapaswa kutambua kwamba wana wajibu wa kutoa huduma bora kwa Umma. Katika kutimiza wajibu wao, wanapaswa pia kuzingatia yafuatayo:-
Utii kwa Serikali
Bidii ya Kazi
Watumishi wa umma wanapaswa kufanya kazi kwa bidii na nidhamu ya hali ya juu. Vilevile wanapaswa kuonyesha kwamba wanaheshimu na kujali wajibu wao kwa kufanya yafuatayo:-
Kutoa huduma bila Upendeleo
Kufanya kazi kwa Uadilifu
Matumizi sahihi ya Taarifa
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa