• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Maliasili na Mazingira

SEKTA YA MALIASILI

Misitu

Raslimali ya Misitu ni muhimu sana katika ustawi wa maisha ya wananchi  wa  Mkoa Rukwa  kiuchumi  na kijamii. Misitu husaidia katika upatikanaji wa mvua, hupunguza hewa ya ukaa kwenye mazingira yetu, hutunza vyanzo vya maji, Pia Misitu ni muhimu sana katika shughuli zetu za kiuchumi na za kijamii za kila siku kupitia mazao yake ya mbao, kuni na mkaa.

Mkoa   una eneo la hekta 147,917.65 ambazo zimefunikwa na misitu ya asili na ile ya kupandwa. Katika Kipindi cha  mwaka 2017/2018 Mkoa umeendelea kuhifadi misitu hiyo kwa mujibu wa sheria na kanuni za uhifadhi zilizowekwa.

Upandaji Miti 

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018,  halmashauri zilijiwekewa  malengo ya kupanda jumla ya miti 6,000,000 ili kutekeleza lengo la Kitaifa la kupanda miti 1,500,000 kwa kila Halmashauri.  Hadi tarehe 30 Juni, 2018 Mkoa ulipokea taarifa za kupandwa  miti 4,686,169 sawa na asilimia  78.1 ya malengo. Miti hii imepandwa katika maeneo mbalimbali.

Jedwali Na 8:Takwamu za upandaji miti kwa mwaka 2017/2018

Halmashauri  
LENGO
Idadi iliyopandwa 
Asilimia
Sumbawanga MC

1,500,000

935,321

62.35

Sumbawanga DC

1,500,000

1,423,448

94.5

Nkasi DC

1,500,000

1,320,000

83.0

Kalambo DC

1,500,000

1,007,400

67.2

Jumla 

6,000,000

4,686,169

78.1

Usimamizi wa Mapori ya Akiba 

Mkoa una mapori ya Akiba mawili, ambayo ni Pori la Akiba la Lwafi lenye ukubwa wa kilomita za mraba 2,837.5 na Pori la Akiba la Uwanda lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,000 na kufanya mapori yote mawili kuwa na jumla ya kilomita za mraba 7,837.5.

Mapori haya yamekuwa yakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo kufanyika kwa shughuli za kibinadamu ndani ya mapori kama vile kuingiza mifugo, kilimo cha mazao, kupasua mbao, kukata miti, kuchoma mkaa, uwindaji haramu na uvuvi usio endelevu.

Ili kuhakikisha kuwa Mapori yetu ya Akiba ya Uwanda na Lwafi  yanalindwa kikamilifu, Mkoa kwa kushirikiana na Mamlaka za Hifadhi za wanyama pori umeendelea kufanya doria mbalimbali. 

Katika kipindi cha mwaka 2017/2018  jumla ya doria 24 zimefanyika katika Pori la Akiba la Uwanda   na kufanikiwa kukamata majangili  179,  ngo’mbe 2,247 na kondoo 141 ndani ya hifadhi  na kufanikwa kuendesha kesi 15 za mifugo,  kesi 38 za uvamizi wa shughuli za kilimo na uvuvi na kesi 2 za silaha.  Jumla ya kesi hamsini na tano (55) zilifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Sumbawanga na kati ya kesi hizo kesi ishirini na saba (27) zilihukumiwa.

Doria 30 zimefanyika katika Pori la Akiba la Lwafi na kuwezesha kukamata majangili 28, ng’ombe 400, baiskeli 14, mbao vipande 462, misumeno 9, pikipiki 2,  meno ya tembo 4,  malori 2 ,  mkaa gunia 6, bunduki 2,  gobole 7,  risasi za shotgun 20 na mtego wa roda 1. 

 Uwekaji wa Alama au Mabango 

Katika kipindi cha 2016/2017 na 2017/2018  jumla ya alama/vigingi  237 vimeshawekwa katika maeneo mbali mbali ya misitu na Mapori ya Akiba kwa mchanganuo ufuatao; Msitu wa Hifadhi ya Mbizi vigingi 22, Msitu wa Hifadhi wa Kalambo vigingi  63, Pori la Akiba la Uwanda vigingi 75 na Pori la Akiba la Lwafi vigingi 77.

Zoezi hili bado halijafanyika katika maeneo yenye changamoto za migogoro ya mipaka baina ya maeneo ya hifadhi na Maeneo ya Vijiji. Alama zilizobaki zitawekwa baada ya kupitia ramani upya  na kutatua migogoro iliyopo baina ya Vijiji na maeneo ya Hifadhi hizo.

Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Wadau wa Elimu

    January 15, 2023
  • Ruwasa

    January 03, 2023
  • Waziri Mkuu Aanza Ziara Rukwa

    December 14, 2022
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa