Seksheniya Uchumi na Uzalishaji ina lengo la kutoa uwezeshaji wa kitaalamu kuhusu sektaza uchumi na uzalishaji kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Mkoa. Sekshenihii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi ambaye anawajibika kwa Katibu Tawalawa Mkoa
Majukumu ya Seksheni yaUchumi na Uzalishaji
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0739862632
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa