Monday 4th, December 2023
@
Mkoa wa Rukwa utafanya utaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa katika kijiji cha Kirando Wilaya ya Nkasi Desemba Mosi mwaka huu.
Maadhimisho hayo yanakwenda na kauli mbiu isemayo "IMARISHA USAWA"
Mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Queen Sendiga.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani
Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA
Simu: 025 280 2137
Simu: 0735019734
barua pepe: ras@rukwa.go.tz
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa