• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

EWURA yawataka wafanyabiashara wa mafuta Rukwa kuzingatia sheria

imewekwa Tar: March 31st, 2017

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (Ewura) imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara wa mafuta na vilainishi Mkoani Rukwa ambapo imewataka wafanya biashara hao kufuata sharia, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa bidhaa hizo.

Katika mafunzo hayo mkurugenzi wa idara ya Petroli kutoka Ewura GODWIN SAMWEL amesema kuwa wameamua kutoa mafunzo hayo nchi nzima ili kuondokana na hali ya uharibifu wa magari ya wananchi kwakuwa vilainishi vingine havijathibitishwa kutumika nchini na vinaingizwa kinyemela.

Mkurugenzi huyo amesema kuwa mamlaka hiyo, imejipanga vyema pamoja na kushirikiana na jeshi la polisi ili kuhakikisha kuwa vilainishi ambavyo havijathibitishwa kutumika nchini vinakamatwa, kutaifishwa na wafanyabiashara wanaohusika na biashara hiyo wanakamatwa kisha kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Hata hivyo baadhi ya wafanyabiashara wamepongeza kupewa mafunzo hayo ambapo wameitaka Ewura kuendelea kutoa mafunzo hayo mara kwa mara ili kujiepusha na majanga mbalimbali.

Mbali na mafunzo hayo kutolew Mkoani Rukwa lakini bado mwitikio wa wafanyabiashara wa mafuta umekuwa sio wa kuridhisha ukilinganisha na vituo vya mafuta vilivyopo mkoani humo.

Matangazo

  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kodi kwa Maendeleo September 15, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC Sendiga: Tutafanya Mapinduzi ya Kilimo Rukwa

    August 11, 2022
  • RC Sendiga: Niko Tayari kwa Kazi

    August 09, 2022
  • Sensa

    July 10, 2022
  • Maandalizi ya Sensa Rukwa

    July 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0764902066

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa