• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA YAIBUKA KINARA WA MKOA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2022/2023

imewekwa Tar: July 25th, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga imeibuka kinara wa utekelezaji wa Afua za Lishe kwa kipindi cha Mwaka 2022/2023 na kukabidhiwa cheti cha pongezi na Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere. Halmashauri hiyo imeongoza katika kwa kutenga fedha na kusimamia utekelezaji mipango na bajeti ya lishe.  Fedha zilizotumika katika masuala ya lishe katika Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa Mwaka 2022/23 ni asilimia 128.

Akikabidhi cheti cha pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Bi. Lightness Msemo, Mheshimiwa Makongoro ameitaja Halmashauri hiyo kama mfano wa kuigwa katika utekelezaji wa Mkataba wa Lishe  na kueleza kuwa Mkoa wa Rukwa unaweza kuwa wa kwanza katika masuala  mengine pia ikiwa yatapewa kipaumbele kama ilivyofanyika kwa suala la lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amezitaka Halmashauri zote kutenga fedha na kuhakikisha fedha zilizotengwa zinatumika kwa kuzingatia mipango iliyowekwa. Amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zingine zote za Mkoa wa Rukwa kujifunza na kuiga mbinu zinazotumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Akihitimisha hafla hiyo Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amezielekeza Halmashauri zote za Mkoa wa Rukwa kusimamia ipasavyo mipango na bajeti zilizowekwa. Ametaka kusimamiwa kwa mpango wa shule kuwa na mashamba na bustani za mbogamboga ili kusaidia upatikanaji wa chakula bora kwa wanafunzi huku akaielekeza kuongezwa kwa viini lishe katika chakula kinachosambazwa na wazabuni wa shule na huku akisisitiza kutungwa kwa Sheria Ndogo za lishe kwa kila Halmashauri.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI October 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA - MAPOKEZI YA FEDHA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 3.8 KWA AJILI YA SEKTA YA AFYA October 05, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI- RUKWA September 27, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • UMOJA NA MSHIKAMANO SILAHA ZA MAFANIKIO MIAKA 62 YA UHURU

    December 09, 2023
  • MAKONGORO AWATAKA WADAU KUILIPA TEMESA KWA WAKATI

    November 21, 2023
  • MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA; WANAFUNZI RUKWA KUGAWIWA VYANDARUA

    October 19, 2023
  • MAKONGORO ATAKA MIRADI IKAMILIKE KABLA YA OKTOBA 30, 2023.

    October 18, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa