• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Kikao cha Wadau wa Elimu

imewekwa Tar: February 28th, 2022

SERIKALI IMEFANIKIWA KUBORESHA ELIMU RUKWA: RC MKIRIKITI

Na .OMM Rukwa

Mkoa wa Rukwa umefanikiwa kuwezesha wanafunzi 16,264 waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza mwaka 2022 kuripoti shuleni kati ya lengo la wanafunzi 20,324 waliochaguliwa baada ya kufaulu mtihani wa darasa la saba mwaka jana.

Akizungumza katika ufunguzi wa kikao cha wadau wa elimu leo (24.02.2022) mjini Sumbawanga, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti alisema mafanikio hayo yametokana na jitihada za serikali ya Awamu ya Sita kufanikisha ujenzi wa madarasa 259 katika shule za sekondari chini ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19.

“Wanafunzi wa kidato cha kwanza walioripoti hadi kufikia tarehe 22 Februari, 2022 ni 16,264 sawa na asilimia 80.2 ya wanafunzi 20,324 waliochaguliwa. Na uandikishwaji wa wanafunzi wa darasa la elimu ya awali umefikia asimilia 90.4 baada ya wanafunzi 36,640 kuandikishwa kati ya wanafunzi 42,702 waliotarajiwa katika mkoa wa Rukwa” alisema Mkirikiti.

Mkirikiti aliwataka wadau hao wa elimu kuweka mikakati ya kujua watoto 4,060 ambapo hawajaripoti kidato cha kwanza wako wapi kwani serikali imeweka mazingira mazuri ikiwemo utoaji elimu bila malipo kwa elimu msingi.

Mkirikiti alitoa agizo kwa wadau wa elimu kufanya kazi ya kujua wanafunzi wenye mahitaji maalum walipo na ikiwemo sababu gani wengine hawajaandikishwa shuleni pia wakuu wa shule za sekondari za bweni kusimamia nidhamu za wanafunzi.

“Natoa wito kwa wakuu wa shule zenye hosteli wa mabweni kudhibiti mienendo na maadili ya watoto .Zipo dalili kuwa baadhi mienendo yao siyo mizuri” alionya Mkirikiti.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa mkoa alitoa pongezi kwa serikali ya awamu ya sita kwa kuupatia mkoa huo shilingi Bilioni 6.6 chini ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 zilizotumika kujenga vyumba vya madarasa 259 shule za sekondari na madarasa 73 kwa vituo shikizi vya shule za msingi.

“Tunamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha zilizowesha kujengwa miundombinu ya madarasa mapya yaliyowezesha wanafunzi wote waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu 2022 kuripoti vema shuleni” alisisitiza Mkirikiti.

Naye Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu akizungumza kwenye kikao hicho cha wadau wa elimu alisema lengo lake ni kufanya tathmini ya hali ya elimu kwa kuangalia mafanikio yaliyopatikana na namna ya kuboresha sekta ya elimu.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WAAGIZWA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA CHANJO POLIO

    September 15, 2023
  • HALI YA USALAMA KABWE NI SHWARI, KAZI IENDELEE

    September 12, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa