• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mwananchi ashangazwa na visanduku vya maoni kwenye Taasisi za Kiserikali

imewekwa Tar: April 18th, 2018

Mwananchi wa Kijiji cha Mtowisa, Kata ya Mtowisa, Tarafa ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga Pius Wapinda ameshangazwa na kitendo cha taasisi mbalimbali za kiserikali kuweka visanduku kwaajili ya kukusanyia maoni ya wananchi lakini hakuwahi kupata mrejesho wa maoni hayo kufanyiwa kazi.

Mwananchi huyo aliiomba serikali kuyafanyia kazi maoni hayo na kufanya mrejesho kupitia mikutano na vikao mbalimbali vinavyofanywa na serikali katika ngazi tofauti ili wananchi wawe na moyo wa kuendelea kutoa maoni hayo pindi wanapoona yanafanyiwa kazi.

“ukipita kwenye maofisi ya kiserikali kuna masunduku mbalimbali pale, yale masanduku ya maoni mimi huwa sioni kama yana maana yoyote na sijui yanatusaidia kitu gani maana sioni mrejesho wake, ningependelea kwenye mikutano kama hii wangekuwa wanatuambia kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa kumi tumepokea maoni kadhaa na mrejesho wake ni huu hapa,” Alieleza.

Nae Afisa utumishi wa Halamashuri ya Wilaya ya Sumbawanga Hamis Mangale alisema kuwa ni mwezi mmoja tu tangu akabidhiwe ofisi hiyo na hakufahamu kama utaratibu wa dawati la malalamiko halifanyiwi kazi hivyo aliahidi mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kulichukua hilo na kuhakikisha wanalifanyia kazi ili kukata kiu ya wananchi ambao wengi wamekuwa na malalamiko yanayohusu masuala ya mapenzi.

Katika Kusisitiza hilo Mh. Wangabo alisema kuwa maoni hayo ni vyema yakachukuliwa na taasisi husika ikiwa ni hospitali kuna kamati ya afya, yajadiliwe katika kamati hiyo na hatimae wananchi wapatiwe mrejesho katika vikao mbalimbali kuanzia ngazi ya Kijiji hadi kata.  

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 13, 2023
  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WANAPATIWA CHANJO

    September 21, 2023
  • WAAGIZWA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA CHANJO POLIO

    September 15, 2023
  • HALI YA USALAMA KABWE NI SHWARI, KAZI IENDELEE

    September 12, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0735019734

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa