• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Naibu Waziri Aweso azitaka Mamlaka za maji nchini kuunganisha maji ndani ya siku saba

imewekwa Tar: August 8th, 2020

Naibu Waziri wa Maji Mh. Jumaa Aweso amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za maji nchini kuhakikisha wananchi ambao wamekamilisha taratibu za kulipia uunganishaji wa maji wanapatiwa huduma hiyo ndani ya siku saba, kwani hiyo ni haki ya mwananchi na ni wajibu wa serikali kuhakikisha mwananchi anapata maji hayo.

“Si jambo la busara hata kidogo mwananchi amefuata taratibu za kulipia uuunganishwaji wa maji anatumia miezi mitatu, miezi minne, dana dana zimekuwa lukuki haiwezekani, tunataka ndani ya siku saba, na ieleweke mtu ameshindwa atupishe, tuweke watu ambao wanaweza wakaifanya hiyo kazi, kwahiyo nawaomba wananchi wa Tanzania muelewe na mfahamu kwamba utakapokuwa umekamilisha taratibu za kulipia maunganisho wa maji basi ndani ya siku saba Mamlaka iweze kuhakikisha kwamba mwananchi huyu anapata huduma ya maji,” Alimalizia.

Ameyasema hayo baada ya kupokea taarifa ya hali ya upatikanaji wa maji mkoani Rukwa kabla ya kuanza ziara yake ya siku mbili katika mkoa ili kukagua na kutembelea miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa ndani ya Mkoa.

Wakati akitoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa maji Mkoani Rukwa Kaimu Meneja wa Wakala wa maji vijiji Mhandisi Boaz Matundali alisema kuwa katika mwaka wa fedha 2020/2021 Mkoa wa Rukwa umepanga kutekeleza jumla ya miradi 30 ambapo kati ya hiyo miradi 14 ni mipya na 16 ni ya ukarabati na upanuzi na kuongeza kuwa kiasi kilichotengwa kwaajili ya utekelezaji wa miradi hiyo ni Shililingi 10, 102,639,591/=.

Wakati serikali ya Awamu ya Tano inaingia madarakani mwaka 2015 upatikanaji wa maji safi na salama Mkoani Rukwa ulikuwa asilimia 40.4 na kufikia mwezi Juni, 2020, asilimia 63 ya wakazi vijijini pamoja na asilimia 80 ya wakazi wa mjini wanapata maji safi na salama huku serikali ikiwa imewekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 46.5.

Matangazo

  • HOTUBA YA BAJETI YA TAMISEMI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 May 05, 2023
  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAWEKEZAJI KUTOKA ZAMBIA WAVUTIWA NA BANDARI MKOANI RUKWA

    May 28, 2023
  • MRADI WA MAJI WAZINDULIWA KISA

    May 15, 2023
  • ZAHANATI YA MPONA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA YAZINDULIWA

    May 15, 2023
  • UPENDO, MAADILI NA FAMILIA IMARA MUAROBAINI WA UKATILI WA KIJINSIA

    May 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa