• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RAS Mchatta akagua miradi

imewekwa Tar: January 26th, 2023

RAS MCHATTA AKAGUA MIRADI HALMASHAURI (W) SUMBAWANGA

Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Rashid Mchatta amefanya ziara ukaguzi wa miradi ya sekta ya afya na elimu inayotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga kwa kutembelea kata ya Muze na Mtowisa.

Katika ziara hiyo aliyoifanya leo (Januari 25,2023) Mchatta alikagua mradi wa ujenzi wa madarasa mapya katika shule za sekondari Mazoka (vyumba 4) ,shule shikizi ya msingi Mkuyuni, shule ya msingi Mkamanyi, Uzia na shule ya sekondari Vuma  ambapo miradi ya madarasa imekamilika na kuagiza yatumike .

Akiwa katika shule shikizi ya Mkuyuni RAS ambapo kuna mradi wa ujenzi wa nyuma ya mwalimu, ameelekeza halmashauri ifanye utaratibu wa kupima eneo na kuweka alama ili kuepusha uvamizi wa maeneo hayo.

Kwa upande wa sekta ya afya , Mchatta amekagua mradi wa ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Muze na hospitali ya wilaya Mtowisa kuona mwenendo wa utekelezaji wake.

Akiwa Hospitali ya Mtowisa alielezwa kuwa mradi huo ulianza mwaka 2020/2021 na kuwa hadi sasa umetumia zaidi ya shilingi Bilioni 3.4 lakini bado haijakamilika huku baadhi ya majengo yakiwa hayatumiki .

Mchatta ametoa wito kwa uongozi wa halmashauri kusimamia kwa karibu mradi huo kwa kuhakikisha mkandarasi anatekeleza mkataba ili kazi ikamilike na huduma ziendelee kutolewa kwa wananchi pamoja na kuzingatiwa kwa thamani ya fedha.

Mwisho.

Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JAMII ISHIRIKIANE NA WALIMU KUKUZA TAALUMA

    February 16, 2023
  • Kampeni Upandaji Miti

    February 07, 2023
  • TASAF

    February 05, 2023
  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa