• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa atoa siku 15 kwa waajiri kuwalipa wafanyakazi bora

imewekwa Tar: May 2nd, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen ametoa siku 15 kwa waajiri wote waliotowa ahadi hewa kwa wanyakazi kuhakikishe wanawalipa wafanyakazi hao ili kutoa motisha kwa wengine kwa miaka inayofuata.

Alitoa agizo hilo alipokuwa akiwahutubia watumishi wa taasisi mbalimbali za kiserikali na mashirika ya Umma katika viwanja vya Namanyere wilayani Nkasi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani.

Maadhimisho hayo ambayo hufanyika kila ifikapo Tarehe 1, Mei ya kila mwaka na kusheherkewa na wafanyakazi wote wa serikali na mashirik binafsi Duniani na wafanyakazi waliofanya vizuri huzawadiwa kwa kupewa pesa Taslimu, hundi ama vifaa mbali mbali ili kuongeza ushindani kwa wafanyakazi.

Mh. Zelote alisema “Endapo wapo watumishi bora ambao hawajalipwa nataka nipate majina yao mara moja, vinginevyo ifikapo tarehe 15 Mei, 2017 wawe wamelipwa,” na kuongeza kuwa katika mchakato wa kupatika kwa wafanyakazi bora chama cha Wafanyakazi Tanzania TUCTA kishirikishwe na waajiri hao.

Pamoja na hilo Mh. Zelote Stephen alisisitiza kufanyika kwa mabaraza ya kazi kwa mujibu wa sheria inavyoelekeza ili kila mfanyakazi ajue haki yake na aidha aliwashauri wale ambao wanategemea kustaafu kuhakikishe wanawasilisha nyaraka zao muhimu ili taratibu za mafao zikamilike kwa muda muafaka.

“Hata hivyo yanapotokea matatizo ya kuzungushwa taarifa ziletwe kwangu mara moja ili hatua zinazostahili zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kushughulika na mwajiri mzembe,” Mkuu wa Mkoa alisisitiza.  

Matangazo

  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Kodi kwa Maendeleo September 15, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Chanjo Polio

    May 18, 2022
  • NFRA

    May 11, 2022
  • Vyama vya Ushirika

    May 05, 2022
  • Eng. Kundo: Nimeridhishwa na Zoezi la Anwani za Makazi Rukwa

    April 27, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mkirikiti akabidhiwa Ofisi Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Regional Block, 90 Mwl. Julius Nyerere Road

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0764902066

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa