• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Tusisubiri misaada kufanyia kazi masuala ya UKIMWI” RAS Rukwa.

imewekwa Tar: December 4th, 2017

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa David Kilonzo amewaonya watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa kutosuburi misaada kutoka nje ndipo wayafanyie kazi masuala ya UKIMWI na badala yake wayasimamie na kuyajadili kila wanapopata nafasi ya kufanya hivyo.

Amesema kuwa Suala la UKIMWI ni lazima lichukuliwe hatua na watanzania wenyewe kama waathirika wakuu na kama tutaendelea kusubiri misaada ndipo tujadiliane na kushughulikia masuala ya UKIMWI basi vifo vitaongezeka.

“Misaada kutoka nje haiwezi ikatufanya tukabadilika, tunatakiwa sisi wenyewe kila mara kupata muda wa kujadili kuhusu suala la UKIMWI kwasababu UKIMWI upo pamoja na sisi, UKIMWI hauchagui Idara wala Taasisi, hivyo hatuna budi kuendelea kujikinga na kuhamasisha wengine wajikinge,” Alisema

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja ya UKIMWI na magonjwa yasiyoambukizwa kwa watumishi wa sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa chini ya udhamini wa shirika la Walter reed.

Kwa Upande wake mratibu wa TACAIDS Mkoa wa Rukwa Daniel Mwaiteleke amesema kuwa kwa Mkoa wa Rukwa maambuki ya UKIMWI yamepungua kutoka 6.2% mwaka 2012 hadi kufikia 4.4% kwa mwaka 2017 na kuongeza kuwa hadi sasa watu milioni 1.4 wanaishi na UKIMWI ukilinganisha na mwaka 2012 ambapo palikuwa na watu milioni 1.6 walioishi na UKIMWI.

“Zaidi ya Watu 72,000 hupata maambuki mapya ya UKIMWI kila mwaka na watu 78,000 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa yanayosababishwa na UKIMWI,” alisema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa