• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Waandishi Habari wapatiwa Mafunzo juu ya Polio

imewekwa Tar: November 30th, 2022

324,968 KUCHANJWA CHANJO YA POLIO AWAMU YA NNE RUKWA

Na. OMM Rukwa

Mkoa wa Rukwa umekamilisha maandalizi ya utoaji chanjo ya polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano wapatao 324,968 katika awamu ya nne itakayoanza Desemba mosi mwaka huu.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Ally Rubeba amewaambia waandishi wa habari leo (Novemba 30,2022) mjini Sumbawanga kuwa mkoa umekamilisha maandalizi yote na uzinduzi utafanyika kijiji cha Kirando Wilaya ya Nkasi ambapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga atazindua.

“Chanjo zinazotolewa zina manufaa kwa jamii kuwakinga watoto dhidi ya ugonjwa wa polio unaosababisha kupooza au ulemavu wa kudumu na hatimaye kifo,” alisema Rubeba.

Kwa upande wake Mratibu wa chanjo mkoa wa Rukwa Ndenisia Ulomi alisema uzinduzi wa chanjo awamu ya nne umelenga kufikia asilimia mia moja ya watoto wapatao 324,968 kwenye halmashauri zote.

Ndenisia aliongeza kusema serikali kwa kushirikiana na wadau ikiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO) na UNICEF inaendesha kampeni ya chanjo ya polio ili kudhibiti kusambaa kwa virusi vya uonjwa wa polio miongoni mwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Naye Sammy Kisika mwakilishi wa waandishi wa habari alisema ni muda muafaka halmashauri za mkoa wa Rukwa zikabadilika na kukuza ushirikiano na vyombo vya habari ili kampeni hii ipate ufanisi na jamii kubwa ya Rukwa ifikiwe.

Katika kampeni ya polio awamu ya tatu mkoa wa Rukwa ulifanikiwa kuchanja watoto 324,968 kati ya lengo la 276,398 sawa na asilimia 118.

Mwisho.

Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Wadau wa Elimu

    January 15, 2023
  • Ruwasa

    January 03, 2023
  • Waziri Mkuu Aanza Ziara Rukwa

    December 14, 2022
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa