• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mikakati ya Mkoa

MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA 2016/2017 - 2020/2021

Vipaumbele vya Mkoa wa Rukwa

a) Uboreshaji wa Miundombinu ya mawasiliano ya Barabara, Bandari, Reli, TEHAMA, na usafiri wa anga

b) kusimamia Mapinduzi ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi kisayansi zaidi ili kuleta tija na mageuzimakubwa ya kiuchumi Mkoani Rukwa;

c) Uboreshaji wa huduma za jamii (Elimu, Maji, Afya & UKIMWI) Maendeleo ya Watumishi, Hifadhi ya Mazingira;

d) Kujenga mzingira mazuri ya Biashara na Uwekezaji wa Viwanda vidogo, vya kati na vikubwa;

e) Uendeshaji wa Ardhi na Makazi katika maeneo yote ya Mkoa wa Rukwa.

f) Kuimarisha Ukusanyaji wa mapato ya Serikali.


Mpango wa Maendeleo wa miaka Mitano kwa mwaka 2016/2017 - 2020/2021 imeandaliwa kwa kuzingatia mambo yafuatayo;

a) Mpango wa Mkoa wa Rukwa wa maendeleo wa miaka 10 wa 2010/2011 - 2020/2021

b) Mpango wa pili wa maendeleo ya miaka 5 2016/2017 - 2020/2021

c) Mwongozo wa maandalizi ya bajeti ulioandaliwa na kutolewa na Wizara ya Fedha na Mipango mwezi January 2016;

d) Sheria ya bajeti Namba 11 ya mwaka 2015 na Kanuni zake za mwaka 2015,

e) Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025;

f) Mkakati wa Kukuza na Kupunguza Umaskini - MKUKUTA;

g) Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015

h) Malengo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (United Nations Sustauinable Development Goals - SDGs);

i) Sera mbalimbali za Taifa na Kisekta, na kauli mbiu za Kilimo Kwanza, Mfumo wa Tekeleza sasa kwa Matokeo Makubwa (Big Result Now) na uwekaji wa mazingira mazuri ya uendeshaji wa Viwanda;

j) Pamoja na vipaumbele vya Mkoa wa Rukwa ambavyo ni uboreshaji wa Miundombinu, Kilimo, Huduma za Jamii (Elimu, Maji, Afya & UKIMWI) Maendeleo ya Watumishi, Mazingira, kujenga mazingira mazuri ya Uwekezaji wa Viwanda,

   pamoja na Ukusanyaji wa Mapato ya Serikali.

















Matangazo

  • Bei ya Mbolea za Rukuzu kwa Wakulima August 31, 2022
  • Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi April 20, 2022
  • Hotuba ya Bajeti ya WN -OR TAMISEMI 2022/23 April 20, 2022
  • Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) October 09, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JAMII ISHIRIKIANE NA WALIMU KUKUZA TAALUMA

    February 16, 2023
  • Kampeni Upandaji Miti

    February 07, 2023
  • TASAF

    February 05, 2023
  • RAS Mchatta akagua miradi

    January 26, 2023
  • Angalia Zote

Video

Serikali Kuimarisha mahusiano na Sekta Binafsi
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Kilio cha Wananchi kinasikilizwa
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 1 Barabara ya Mkoani

    Sanduku la barua: Box 128 Sumbawanga, 55180 RUKWA

    Simu: 025 280 2137

    Simu: 0739862632

    barua pepe: ras@rukwa.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa