Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amefanikisha kupatikana kwa ekari 3 ili kujengwa kwa nyumba za askari polisi katika eneo la karibu na kituo cha polisi kipya kinachomaliziwa kujengwa katika kata ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga na kurahisisha makazi ya polisi katika bonde la ziwa Rukwa.
Hayo yamejiri ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya wananchi wa kata ya Mtowisa kwa Mkuu wa Mkoa waliyoiahidi tarehe 13.11.2017 Mh. Wanagabo alipofanya ziara katika eneo hilo na kudai kuwa usalama wa bonde hilo sio mzuri kwa kukosa kituo bora cha polisi na makazi yao na kupelekea kuanzisha ujenzi wa kituo na hatimae kuomba nguvu ya Mkuu wa Mkoa kuweza kumalizia ujenzi huo.
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wananchi na viongozi mbali,mbali katika jamii kuhakikisha wanafika kujionea eneo la maporomoko ya kalambo na maajabu yake ili kulitangaza ulimwenguni.
Kaimu Meneja wa Wakala wa Misitu Wilaya ya Kalambo aelezea maajabu yanayopatikana katika maporomoko ya Kalambo.
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa